DANGEROUS ANIMAL saivi tunaona wanyama wote wakali wanapiga picha kwa pamoja….yan unyama wanauweka hadharani bila hata ya kuogopa……. Tukianza kuchambua wanyama hao walioko kwenye post cover..Tunaanza na chui….. Chui ni mnyama anayekula nyama hivoo hufanya mawindo yake kwa lengo la kupata chakula kwani yeye hana huruma katika kutafuta kitu ambcho anaviwinda…..pia tukimwangalia(nyoka)…. Yeye ni hatar sana kwani katika mawindo yake hana huruma wala hachagui kama ukijichanganya kwani yeye umuuma yeyote yule kwa lengo la kujipatia chakula pia kwa kujilinda na maadui zake hvo chatu ni mnyama hatari sana…..mnyama wa mwisho ambye ni hatar sana ni mwanamke huyu kwanza ni kiumbe ambaye ni msaliti hajali chochote kwani yeye hufanya kitu kwa kuangalia maslahi yake na kuwafanya wengine wabaki wanataabika(NB)..mnyama huyu mwanamke ni hatari sana hvoo kila mmoja wetu awe nae makini kwani huyu ni msaliti,mwongo,mlaghai..…nk…………….HIYOOO NI DONDOO FUPI KUHUSU WANYAMA WAKALI DUNIANI AMBAO KWA SASA WANAPIGA PICHA ZA PAMOJA KAMA POST COVER INAVOJIONYESHA DHAIRI

Leef master once said”dangerous animal in the world now they take photo together”

Published by fredrick venance

great model

Leave a comment

Design a site like this with WordPress.com
Get started